1 Msifuni Yahwe, enyi mataifa yote; enyi watu mhimidini yeye. 2 Kwa kuwa uaminifu wa agano lake ni mkuu kwetu, na uaminifu wa Yahwe wadumu milele. Msifuni Yahwe.
<- Zaburi 116Zaburi 118 ->1 Msifuni Yahwe, enyi mataifa yote; enyi watu mhimidini yeye. 2 Kwa kuwa uaminifu wa agano lake ni mkuu kwetu, na uaminifu wa Yahwe wadumu milele. Msifuni Yahwe.
<- Zaburi 116Zaburi 118 ->