Link to home pageLanguagesLink to all Bible versions on this site
Zaburi 117
Sifa za Mwenyezi Mungu
1 Msifuni Mwenyezi Mungu, enyi mataifa yote;
mtukuzeni yeye, enyi watu wote.
2 Kwa kuwa upendo wake kwetu ni mkuu,
uaminifu wa Mwenyezi Mungu unadumu milele.
 
Msifuni Mwenyezi Mungu.[a]

<- Zaburi 116Zaburi 118 ->