Languages
Back to:
Biblica® Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
Zaburi
<- Zaburi 116
Zaburi 118 ->
Zaburi 117
Sifa za Mwenyezi Mungu
1
Msifuni Mwenyezi Mungu, enyi mataifa yote;
mtukuzeni yeye, enyi watu wote.
2
Kwa kuwa upendo wake kwetu ni mkuu,
uaminifu wa Mwenyezi Mungu unadumu milele.
Msifuni Mwenyezi Mungu.
[a]
<- Zaburi 116
Zaburi 118 ->
a
kwa Kiebrania ni
Hallelu Yah.